0
HEKIMA YA SIKU - Mithali 12:1-4HEKIMA YA SIKU - Mithali 12:1-4

HEKIMA YA SIKU Mithali 12:1-4 1 Kila apendaye mafundisho hupenda maarifa; Bali yeye achukiaye kulaumiwa ni kama mnyama. 2 Mtu mwema atapata upendeleo kwa Bwana; Bali mtu wa hila atahukumiwa naye. 3 Mtu hatathibitika kwa njia ya uovu; Shina la mwenye…

Read more »

0
Tatizo ni nini?Tatizo ni nini?

Tatizo ni lile lile, mwingine anafunga na kuomba, na mwingine anarudi nyuma kiimani. Tatizo ni lile lile mwingine anafikiria ni namna gani alitatue mwingine, anaamua kujiua.  "Kinachowafanya watu watofautiane sio kwa sababu wengine hawapitii matatiz…

Read more »

0
Na huu Ndiyo Ukweli wa Mkristo ili upate furaha maisha mwakoNa huu Ndiyo Ukweli wa Mkristo ili upate furaha maisha mwako

Yesu kristo alituachia meseji hii kutoka injiri ya Luka 6:27-38 27 Lakini nawaambia ninyi mnaosikia, Wapendeni adui zenu, watendeeni mema wale ambao wawachukia ninyi, 28 wabarikieni wale ambao wawalaani ninyi, waombeeni wale ambao wawaonea ninyi.…

Read more »

0
Yesu Anakupenda SanaYesu Anakupenda Sana

Yohana 3: 16-17 “Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe kat…

Read more »

1
KWA NINI SI MAPENZI YA MUNGU TUWE MASKINI?KWA NINI SI MAPENZI YA MUNGU TUWE MASKINI?

Napenda kuanza kukuambia ya kuwa si mapenzi ya Mungu uwe maskini. Kwa sababu tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu huu, Mungu hakupanga kuwa watu wake aliowaumba wawe maskini; bila kujali rangi, kabila, wala taifa. Nafahamu ya kuwa katika Mathayo 5:3, Y…

Read more »

0
Mambo yatakayokufanya uwe na furaha wakati wote kama Mkristo wakati wenzako wote wanalia!Mambo yatakayokufanya uwe na furaha wakati wote kama Mkristo wakati wenzako wote wanalia!

Kuna Watu Wanadhani Mungu Anafurahi Au Anawapenda Zaidi Wakiwa Wanapita Kwenye MAGUMU AU MASIKITIKO; Hizi Ni Fikra Mgando, Si Kile Neno La Mungu Limesema Kuhusu Mungu Wangu Wa Biblia! Yeye ANACHOKIPENDA KILA SIKU NI KUONA MKRISTO AKIWA AMEJAA FURAHA…

Read more »

1
SIRI YA NDOA ZINAZODUMUSIRI YA NDOA ZINAZODUMU

Keys to a Lasting Marriage Dear Reader, A lasting marriage depends on the raw material you put into it. There are things you must do to bring about a lasting marriage. To enjoy a lasting marriage, you must be ready to give it all it takes. Come alon…

Read more »
 
 
Top